Pia watoto wanapata muda wa kula chakula cha mchana pamoja na michezo mbalimbali katika kufurahi pamoja kwa siku nzima kanisani hapo.
Upande wa zawadi wanazopewa zinakuwa zinatolewa na Father Christmas siku hiyo katika namna ya kuwafurahish watoto na wazazi wao.
Siku ya Jumamosi kanisani hapo huwa ndio siku ya vipindi vya watoto kupata mafundisho na kufahamiana na watoto wenzake.
h[pof[pgof[g