Umoja wa wamama wa
Living Water Centre wanakukaribisha katika Kongamano (warsha) ambayo imelenga kumgusa mwanamke mmoja mmoja wahali yoyote
katika maisha
walengwa ni (Wanandoa,Wajane,Single Mothers,
Mabinti)imelenga kujitambua nakuishi maisha yaushindi katika mazingira ya hali yoyote aliyopo.
Waalimu mahili wapakwa mafuta wa Bwana watakuwepo wakiongozwana Mwl Lilian Ndegi.
HAKUNA
KIINGILIO,WOTE MNAKARIBISHWA
Kwamawasilianozaidi;
0784 880400
0655 391664
0766 802390