EPHLAHIM SEKELETI AKIHUDUMU LIVING WATER CENTER SIKU YA JUMAPILI

Eprahim Sekereti akihudumu katika Ibada madhabahuni Living Water Centre-Kawe

Hapa alikuwa akifanya collaboration na Living Waters wenyeji.

     


Aposlte Ndegi Liliani Ndegi na baadhi ya Viongozi wa Living Water Centre wakifuatilia jambo kwa makini.

Aposle Ndegi na Eprahim Sekereti

Apostle Ndegi,Eprahim Sekereti,George Mpella kama wanavyoonekana kwenye picha,Living Water Kawe baada ya Ibada.